Shabiki aliyejitoa ufahamu na kuingia uwanjani hatimaye kumkumbatia mchezaji wa Everton Wayne Rooney wakati wa mechi kati ya Everton na Gor Mahia ya Kenya ameachiwa tayari kwa amri ya makamu wa raisi mama Samia Suluhu Hassan ambaye alikuwa mgeni rasmi katika pambano hilo.
Thursday, July 13, 2017
Home »
» Aliyemvamia na kumkumbatia Rooney aachiwa kwa amri ya makamu wa raisi.
0 comments:
Post a Comment