Sunday, December 3, 2017

Mashindano ya kuibua vipaji ya Dance Kitaa yaanza rasmi jijini Mwanza.

Mashindano ya Dance Kitaa jijini Mwanza yameanza rasmi jana katika viwanja vya busket ball vya Mirongo ambapo makundi ya vijana wenye vipaji vya kudance yaliweza kujisajili na kushiriki katika mashindano hayo..... Kupitia TrendTz News blog tutaendelea kukuletea mashindano hayo katika kila hatua.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Breaking News

Contact Us

Name

Email *

Message *

Translate

Total Pageviews