Monday, December 18, 2017

Kitabu kinachoelezea maisha ya wasichana waliotekwa na Boko haram tangia 2014 chatoka rasmi.

Kitabu kinachoelezea kuhusiana na maisha ya wasichana wadogo wanaotoka Chibok nchini Nigeria ambao walitekwa nyara na kundi la Boko haramu tangia mwaka 2014 wakati walipokuwa wakitoka shuleni kimetoka rasmi kikielezea historia nzima ya wasichana hao na kila walichokutana nacho wakiwa mateka.

Kitabu hicho kilichopewa jina la Stolen girls kimeshaanza kupata umaarufu mkubwa baada ya kuanza kupostiwa na wanafilosophia wakubwa duniani baada ya kutoka kwake akiwema Malala Yousafzai binti wa Pakstan aliyepigwa risasi kwa kutetea haki za watoto wa kike kusoma nchini humo.



Share:

0 comments:

Post a Comment

Breaking News

Contact Us

Name

Email *

Message *

Translate

Total Pageviews