Sunday, December 3, 2017

Chrisbrown aanika mahusiano yake mapya hadharani na staa wa Pop Indonesia katika birthday ya Dj Khaled.

Mwanamuziki Chrisbrown siku ya jana ameamua kuudhihilishia umma kuhusiana na mahusiano yake mapya pamoja na mwanamuziki maarufu wa Pop nchini ndonesia Agnez Mo (31) baada ya mastaa hao kuonekana ndani ya mahaba mazito katika birthday ya Dj Khaled.



Chrisbrown aliachana mwanamitindo Karuetche ambaye walidumu katika mahusiano kwa muda na baadae karuetche alianza kumtuhumu Chrisbrown kwa kumtishia mara kadhaa wakati walipokuwa katika mahusiano.  Baada ya kutengana na Karuetche ndipo Chrisbrown alipoanza kupost picha akiwa na Agnez mara kadhaa mitandaoni huku ikionekana kama ni kutangaza jina la brand yake ya nguo inayoitwa Black Pyramid hadi jana alipoanika mahusiano hayo hadharani.


Share:

0 comments:

Post a Comment

Breaking News

Contact Us

Name

Email *

Message *

Translate

Total Pageviews