Thursday, November 30, 2017

Shilole aendeleza safari yake ya ujasiliamali

Msanii wa muziki wa Bongo flavour Shilole ambaye pia ni mama lishe katika mgahawa wake alioufungua mwenyewe hivi karibuni aamua kujiingiza rasmi katika ujasiriamali. Hiyo imeonekana wazi baada ya Shilole kuposti picha akiwa na shehena ya mananasi katika mkoa wa Geita japokuwa Shilole mwenyewe hajatamka rasmi kuwa kaanza kuuza na kusafirisha mananasi hayo lakini watu wengi wamepongeza jitihada za msanii huyo katika ujasiriamali wake na tabia yake ya kujituma.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Breaking News

Contact Us

Name

Email *

Message *

Translate

Total Pageviews