Sunday, June 18, 2017

Waliowapiga risasi vijana 2 usiku wa graduation Maryland wakamatwa.

Polisi jiji la Maryland wamewakamata vijana 3 waliowapiga risasi na kuwauwa vijana 2 waliokuwa wakitoka katika graduation yao eneo la Montgomery mile 20 kutoka katika mji wa Washington siku ya tarehe 5 mwezi wa 6 mwaka huu.
Skauti wakiwa wamebeba jenela la moja kati ya vijana waliopigwa risasi siku hiyo.

 Polisi wamewataja waliokamatwa kuwa ni Jose Canalez(25), Ediger Garcia(24) na Roger Garcia (19). Watuhumiwa hao watapandishwa kizimbani siku ya kesho ambapo watasomewa mashtaka ya mauaji (first degree murder) wote.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Breaking News

Contact Us

Name

Email *

Message *

Translate

Total Pageviews