Tuesday, May 23, 2017

Angalia LIve: Shambulio la kigaidi lauwa watu 22 na kujeruhi watu zaidi ya 50 katika uwanja wa Manchester Arena.

Mpaka sasa polisi wamethibitisha kumkamata kijana mmoja mwenye umri wa miaka 23 ambaye amehusiswa na shambulio hilo lililotokea majira ya saa 4 Dkk 33 Usiku kwa saa za uingereza katika tamasha la muziki lililokuwa likifanywa na mwanamziki Ariana Grande katika ukumbi wa Manchester Arena usiku wa jana.
                                                    TAZAMA KINACHOENDELEA SASA HIVI.
             

Share:

0 comments:

Post a Comment

Breaking News

Contact Us

Name

Email *

Message *

Translate

Total Pageviews